Mwaalikwa wetu ni Bi Annuarité Kabuo Anayewakilisha shirika la kimataifa la haki za watoto, wanawake, wanaume wajane na maendeleo yao ya kijamii, jimboni huko Maniema. Kwakujibu kwa msaada ya kibinadamu kushu shida la ajali ya mafuriko ya mito na mvua katika mji wa Kindu, shirika hili, liilisaidia zaidi ya familia elfu mbili zilizoathirika kwa jupanda mbegu za kilim kwa ajili ya kuwaruhu kuendesha vema shughuli za kilimo. ANNUARITE KABUO anajibu ku maswali ya KIZA LUNGA./sites/default/files/2023-06/invite_swahili_web_.mp3