Vincent Semu, mtaalamu wa kisaikolojia mjini Goma

Shirika la kiraia mjini Goma linachukizwa na ongezeko la vitendo vya kujitendea  haki au kijipiza kisasi katika mji wa Goma na mazingira yake.  Matukio ya matendo haya yana athari kubwa kwa akili ya watu binafsi. Vincent Semu, mtalaamu wa kisaikolojia, hutusaidia kuelewa matokeo ya vitendo hivi." Anajibu kwa maswali ya Rosalie Zawadi /sites/default/files/2024-07/invite_sw_-_justice_populaire_web.mp3