RosalieKwalangala, mratibu wa vijana wa dayosisi wa Bukavu

Zaidi ya vijana elfu tatu, wanawake na wanaume kutoka parokia zote makumi inne na moja za eneo  kuu la Bukavu walisherekea  Siku zao za Vijana wa Dayosisi katika Parokia ya Burhale katika mtaa wa Walungu. Familia mia tano za  eneo hilo kunako parokia hii iliyowapokea zilisaidia vijana hawa wakati wa mikutano hiyo ambayo yalidumu kutoka siku ya inne iliyopita hadi siku ya mungu. Wakati wa sherehe hiyo, Vijana hawa  walizungumzia pia  hali ya kijamii na kiuchumi. RosalieKwalangala, mratibu wa vijana wa dayosisi, anazungumza na Jean Kasami./sites/default/files/2024-07/invite_sw_rosalie_kwalangala_web.mp3