Dedesi Mitima,mkuu wa wilaya ya Lac Vert mjini Goma

Mjini Goma, mkuu wa wilaya ya Lac Vert anakataza kuchoma pori kwenye milima ya eneo hilo. Kulinfana na  Dedesi Mitima,kwa kipindi hiki cha kipwa , moto unaweza kuenea katika nyumba zilizo karibu na vilima. Bwana Dedesi Mitima anazungumza na Rosalie Zawadi./sites/default/files/2024-07/dedesimitima_web.mp3