Trésor Hakizimana, kiongozi wa mradi wa “Elimu” katika shirika la Sylam

Katika jimbo la Kivu ya Kaskazini: wakati familia nyingi za wakimbizi  zikirejea katika vijiji vyao karibu na Kanyabayonga kufuatia  mapatano ya kibinadamu, shirika la kupiganisha vifaa via kulipuka (Sylam) linapiga yowe kwa kusema kwamba   Maeneo haya ya kurudi, ambayo zamani yalikuwa maeneo ya mapigano, huenda yakawa na vilipuzi . Watoto wawili  walifariki siku ya pili iliyopita baada ya kukanyaga kifaa kiakulipuka  katika eneo hilo. Kufuatana na hatari hii, Sylam anaomba watu hawa waorejea  kuwa waangalifu kabisa. Trésor Hakizimana, kiongozi wa mradi wa “Elimu” katika shirika hilo la  Sylam, anaelezea hatua za kufuata ili kuepuka ajali zinazohusishwa na vilipuzi . Anazungumza na Rosalie Zawadi./sites/default/files/2024-07/tresor_hakizimana_web.mp3