
Sur le lac Edouard au Nord-Kivu, quelques pirogues des pêcheurs Congolais, libérées par la marine Ougandaise, samedi 19 février 2022.
Photo de la Fecopeile (Photo d'illustration)
Photo de la Fecopeile (Photo d'illustration)
Katika Kivu Kaskazini- Eeneo la uvuvi la Vitshumbi lilio kwa umbali wa takriban kilomita mia moja makumi ine kutoka mji wa Goma katika tarafa la Rutshuru linarekodi kupungua kwa uzalishaji wa uvuvi. Hali inaathiri sana maisha ya kijamii na kiuchumi ya wakaazi wa eneo hili. Mgeni wetu leo, mkuu wa vyama vya wanawake wa eneo hilo, Elisabeth Bitasimwa anazungumzia madhara hasa umaskini na unyanyasaji wa kijinsia miongoni mwa wanawake na watoto. Anazungumza na Sifa Maguru.