Mwalikwa wetu ni liwali wa muda wa jimbo la Maniema. Afani Idrissa Mangala azungumza kuhusu mazingira magumu ya kazi ya waendeshaji uchumi wa jimbo hilo na hiyo serikali jimboni inafanya ili kurekebisha hali hiyo. AFANI IDRISSA MANGALA anajibu kwa maswali ya Florence KIZA LUNGA./sites/default/files/2023-06/invite_swahili_web_gouv_maniema.mp3