Daniel Makasi, mwandishi wa habari na mtetezi wa mazingira mjini Goma

Carte de la zone de sécurité sur l'axe Goma-Sake

Mjini  Goma, shirika liitwao  "Teteya Mazingira" lilizindua, tangu mwezi wa tatu iliypita , kampeni ya hatari ya Mazuku (CO2) kwa kifupi. Ni kwajili ya kuhamasisha na kuonya  watu juu ya hatari ya Mazuku ambayo inaendelea  kutatiza watu na wanyama. Bwana  Daniel MAKASI, mwandishi wa habari na mtetezi wa mazingira anazungumza kuhusu suala hilo na Denise Lukesso.