Jean KIMALANGWA Asani Shomary : Wakimbizi hawana nafasi ya kukaa

Mgeni wetu leo ​​ni Makamu wa mkuu anayesimamia utawala wa watu waliohamishwa wa  mgogoro kati Ya jamii za wa Mbole na wa Lengola wanaohifadhiwa katika parokia ya Sainte Marthe ya Lubunga. Jean KIMALANGWA Asani Shomary na mkuu wake Roger YENGO wapo katika harakati za kuwatambua watu waliohamishwa eneo hilo. Mpango huu ulitoka wapi? Na lengo lake ni nini? Jean IMANGWA anazungumza na Jacques MUKONKOLE.

/sites/default/files/2025-04/290425-p-s-invitekisanganijeankimalangwaasanishomary-identificationdeplaces-00-web_.mp3