Ilundu Bulambo Stephane, msamaji wa wambote jimboni Kivu ya Kusini

Katika jimbo la Kivu ya Kusini…muungano ya  Makundi ya Watu wa Kiasili, DGPA, unazindua kampeni ya kutangaza  sheria ya ulinzi ya wambote . Sheria iliyotangazwa na Raisi wa Jamhuri Félix Antoine Tshisekedi Tshilombo mnamo  tarehe kumi na tano mwezi wa saba  mwaka iliyopita. Msemaji wao katika Kivu ya Kusini ILUNDU BULAMBO STEPHANE ni  mwalikwa wetu wa leo. Anazungumza katika na Jean Kasami./sites/default/files/2023-06/invite_swahili_de_ce_mercredi_web_.mp3