Daktari Alain Mugoto Byamungu : Karibu watoto elfu makumi sita walikuwa bila ndui kwa sababu ndui haikukuwa

Mgeni wetu ni daktari ALAIN MUGOTO BYAMUNGU kutoka Maniema. Yeye ni meneja wa programu wa shirika lisilo la kiserikali la Village Reach, muundo ambao uliwaleta pamoja madaktari wakuu wa mitaa ya afya yote kumi na nane na watendaji wa DPS kutoka mkoa wa Maniema ili kujadili tatizo la uhaba wa chanjo katika vituo vya afya. Daktari ALAIN MUGOTO BYAMUNGU azungumza na Florence KIZA LUNGA. 

/sites/default/files/2024-04/240424-p-s-kinduinvitedralainmugotobyamungu-00-web.mp3