Matin

Edition du lundi 16 septembre 2024

Kinshasa : kumefunguliwa kikao cha kawaida cha septemba

Kinshasa: Mwana seneta Norbert Basengezi Kantintima anaomba ongezeko kwa idadi ya wamama kwenye Bunge inchini

Butembo : Ujumbe wa askofu wa Butembo-Beni kwa wana seneta wa jimbo kivu kaskazini

Lubumbashi : Mpango wa kukusanya feza ili kusaidiya wa mama wahanga wa ubakaji kwenye jela la Makala

Beni : Kuna patikana vijana wasika ndani ya kambi la jeshi

Beni : Mauwaji yana zidi katika muji Beni : muchaguliwa mumoja ana towa suluhisho

Goma : Sendiketi ya walimu wa shule za makubaliano za kiprotestanti wana komesha mugomo wao

Kisangani : Ukosefu wa mafuta ya gari ndani ya muji Buta 

/sites/default/files/2024-09/15_09_2024_journal_swahili_du_lundi_matin_web.mp3