Journal Matin

Habari z'asubuhi 22 Januari, 2025

  • Kinshasa : Jeshi la Kongo linawasiliana kuhusu mapigano kati yake na uasi wa M23 unaoungwa mkono na Rwanda
  • Goma : Hali ya kibinadamu huko Bweremana kutokakana na uvamizi wa M23
  • Beni : Kijiji cha  Mamove kinapata nafuu taratibu baada ya mfulilizo wa mashambulizi ya waasi wa ADF
  • Kalemie: Ajali ya ndege huko Kongolo, hakuna tukio kubwa
  • Beni: Uhaba wa mafuta ya gari, matokeo na ongezeko la bei kwa lita
  • Bukavu: Uhaba wa mafuta ya gari mjini
  • Kananga: Hali ya mporomoko wa udongo huko Kamayi
  • Bandundu: Baraza la wakulima lasikitikia hali ya barabara za jimbo hilo./sites/default/files/2025-01/220125-p-s-journalswahilimatin-00-web.mp3