Journal Soir

Habari za jioni 22 Januari, 2025

  • Goma: Ripoti ya  Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Masuala ya Kibinadamu kuhusu hali ya kibinadamu
  • Goma: Hali uwanaja wa mapigano kati ya jeshi la Kongo na waasi wa M23 pa  Minova na Sake
  • Goma: Umuhimu wa  bandari ya Kasunyu, Kivu Kusini
  • Kinshasa: Mkutano kati ya Waziri Mkuu, FEC na muungano wa wafanyakazi  juu ya kiasi cha chini cha mshahara inchini Kongo
  • Lubumbashi: Uhaba wa mafuta ya gari umeonekana katika vituo vya huduma
  • Mbuji mayi: Ongezeko la bei ya lita moja ya petroli huko Tshumbe, Lodja
  • Kananga: Mkataba wa amani uliotiwa saini na jumuiya mbili
  • Bukavu: Raia kumi  wa Uchina waachiliwa huru na mahakama kwa kutokuwa na hatia
  • Kinshasa: Ukosefu wa usalama katika Kata CPA/MUSHI,  wakazi wanazungumizia wasiwasi wao./sites/default/files/2025-01/220125-p-s-journalswahilisoir-00-web.mp3