Fichier audio : téléchargez Flash pour écouter.
22ème Leçon Chroniques ” Les élections c`est facile à comprendre” Swahili
rn” watu wengi
hujiuliza kama kura itwayo référendum ni nini?”
*Référendum ni hatua inayaowapa wanainchi wa
inchi fulani namna ya kupigakura, inayaoelekakuitika ao kukataa mpango uliochukuliwa na madaraka ya serkali.
Kwa jambo lenyi kuelekea wakongomani,kura hiyo ni uchunguzi wa taifa kuhusu mpango wa katiba yaani buku la
uongozo wa jamuhuri ya kidemokrasia ya akongo. Kwa hatau hiyo ya uchaguzi ni ilizo moja tuu ndilo litauliza
kwa watakao chaguamunaitika mpango wa buku la uongozo wa inchi ambalo wanawatolea ? Wachaguzi watajibu ndio
ao hapana.
*Basi tuweza kujua wapi kura hiyo ya mpango wabuku la uongozo wa inchi itafanyika
?
*Inafaa kuelewa kama uchunguzi huo wa taifa kuhusu katiba yaani buku la uongozo wa inchi,huenda
kufanyika kunako vyumba vya auchaguzi,vinayoongozwa na wanamemba waliotajwa na C.E.I vyumba vile vitageuzwa
nyuma kuwa vyumba vya kupekua vyeti vya uchaguzi .Tujue kama nukta ya makumi tatu ya sheria inaongozo wa
inchi katika jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo ilichukua hatua ya kama uchaguzi utakuwa wa siri.Na hiyo ni
kwa lengo la kuwapatia bahati wakongomani watakaochagua,bahatika ao kukataa katiba itakayoongoza;kwa manufaa
ya rahiya..
*Basi msingi kisheria wa kura ya buku la uongozo wa inchi ni gani ? Kitu gani kilisukuma
kura hiyo ifanyike katika jamuhuri ya kidemokrasiaya kongo ?
*Kura ya mpango wa buku la uongozo wa
inchi ilishimikwa na sheria ya sifuru tano sifuru kumi ya tarehe 22 yuni mwaka wa 2005, inayaoelekea
matayarisho ya kura la mpango wa buku lile katika jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo. Kufatana na maandiko ya
sheria ile ambayo ilichaguliwa na bunge la taifa, na kutangazwa na raisi wa jamuhuri, matayarisho na uongozo
wa kura ya mpango wa buku la uongozo wa inchi ni kwa mamlaka ya C.E.I. Kufanyika kwa kura hiyo inayao shabaa
ya kukomesha maoni ya kujionesha kama mtu fulani alipewa madaraka na rahiya, na pia nikwa lengo la kukomesha
fujo nyingi za kutumiana silaha, ambazo zimeharibu sana inchi.
TEXTE de SAMUEL KATSHAKrnOndes
CourtesrnTél : ( 00243 ) 998909787
rnTraduction en SWAHILI de
DUNIA MUKUNDA et rnKARINE
SIABA KAKASI