Wakongomani waliofukuzwa Angola- namna gani ya kutatua shida ile-Desturi mubaya ao tabia mubaya-hali gani mubaya kwa vijana wa kesho.

Fichier audio : téléchargez Flash pour écouter.

Wajumbe wa upinzani, wa kundi la uwingi lenyi kuwa madarakani na wa shirika la rahiya wanabadirishana mawazo kuhusu maoni yale.

Waalikwa ni -Maitre Masudi mwanamemba wa chama FONUS..
-Corneille Yango, kiongozi wa chumba kunako uwaziri wa utamaduni, msimamizi wa kundi lenyi kuwa na madaraka.
-Maitre Nsumbu, mwanamemba wa shirika la taifa la wazazi wa wanafunzi wa Kongo – kwa kifupi ANAPECO. ni msimamizi wa shirika la rahiya.