Radjabu Butindi Ferdinand: Kwetu Kindu kunakuwa mauaji kupitia vijana wanaopatikana kunako Bases

Anatujia kutoka Kindu katika jimbo la Maniema. Yeye ni Mwanasheria RADJABU BUTINDI FERDINAND, katibu mtendaji wa umoja wa wanahabari wa kukuza demokrasia na utetezi wa haki za binadamu. Muundo huu unaomba liwali wa muda AFANI IDRISSA MANGALA kufuta maagizo yote yanayoruhusu uendeshaji wa vyama vya vijana vinavyojulikana vinavyojulikana kwa jina maarufu "Bases". Mwanasheria RADJABU BUTINDI FERDINAND, ni mgeni wetu, anazungumza na Florence KIZA LUNGA.

/sites/default/files/2024-02/270224-p-s-invitekinduradjabuferdinand-00-web.mp3