mai 1, 2006

FM: Kinshasa 103.5 | Bunia 104.9 | Bukavu 95.3 |

Goma 105.2 | Kindu 103.0 | Kisangani 94.8 |

Lubumbashi 95.8 | Matadi 102.0 | Mbandaka 103.0 |

Mbuji-mayi 93.8. Ondes courtes: 11690 Khz (4h-5h GMT)

Archives pour: mai, 2006
Page 50 de 50« Première...102030...4647484950

CEI: des responsables territoriaux et de la police nationale d’Aketi mis en cause dans le vol du matériel électoral

L’assistant de l’administrateur d’Aketi et le commandant de la police nationale de la place sont mis en cause dans le vol du matériel électoral au bureau de la CEI de la cité de ce territoire, à 400 Km de la ville de Kisangani, en Province Orientale. Le parquet de Buta s’est saisi du dossier, rapporte radiookpai.net (Lire la suite…)

Province Orientale: l’eau de la Regideso/Bunia impropre à la consommation

A Bunia, chef-lieu du district de l’Ituri, Province Orientale, la quasi-totalité de la population préfère l’eau des puits aménagés à celle des robinets de la Regideso. Cette population considère que l’eau des robinets n’est pas potable, étant donné qu’elle est de couleur jaunâtre et contient des déchets, rapporte radiookapi.net (Lire la suite…)

 » Kazi ya baraza la bunge ni gani ? « 

Fichier audio : téléchargez Flash pour écouter.

 » KAZI YA BARAZA LA BUNGE NI GANI  »

* Karne Kakasi,baraza la bunge ni chumba ao shina ya sheria za serkali. Kazi yake ni kuunda na sheria muhimu kwa uongozo wa vituo vya inchi.Kufatana na sheria mia moja ya katiba ya jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo, baraza la abunge linachagua sheria, linachungua mwenendo wa serkali, wa makampuni ya serkali na pia viwanda na kazi za serkali.
Katika ainchi yaetu,baraza la bunge inayo vyumba mbili.Chumba kidogo yaani wakisema akatikalugha la kifransa chambre basse inayaoitwa bunge la taifa, na chumba kikuu yaani chambra haute- Senat, wakisema katika lugha la kifransa, baraza la wazee wa bunge. Kila chumba kinacho uongozo wake wa kipekee, na mfuko wake wa pesa kwa uongozo wa kazi zake.
Wanamemba wa bunge la taifa wanaitwa wateule wa bunge la taifa yaani wa députés nationaux katika lugha la kifransa., na wale wa baraza la wazee wa bunge wanaitwa wazee wa baraza la bunge yaani wa senateurs katika lugha la kifransa.

 » NAMANA GANI HUENDA KUTIA KANDIDENTI KWA KUWA MWANAMEMBA WA BARAZA LA BUNGE  »

* Wakandidenti kwa kuchaguliwa kwa baraza la bunge wanajulishwa na vyama vya siasa ao vikundi vya siasa.
Wateule wa taifa ni wasimamizi wa rahiya na wanachaguliwa na rahiya katika hali ya siri.Wazee wa baraza la abunge wakiwa na madaraka ya taifa, wanasimamia jimbo. Waanachaguliwa kwa mzunguko wa pili na mabaraza ya majimbo.
Waateule wa taifa yaani wadeputes na wazee wa baraza la bunge wanacahaguliwqa pamoja na wamakamu wao mbili amabao wanaweza kuwagomboa, kufataana ana na oda iliyotiliwa, wakati wa kifo, kuacha kazi, kuwa na kizuhizo ao kufungwqa. Kufatana na sheria sifuru sita kistari sifuru sifuru ya tarehe kenda mwezi watatu mwaka waelfu mbili na sita,yenyi kuelekea uongozo wa uchaguzi wa auraisi ,wa wanabunge la taifa na alile la amajimbo, miji mikuu, na alaokaliti,mda wa kuchukua madaraka ya kazi kwa wanabunge na kwa wazee wa baraza unaanzishwa wakati wanakubaliwa na vyumba mbili vya baraza la bunge,na madaraka yao yanamalizika wakati baraza la bunge lipya linashimikwarnWateule wa taifa na wazee wa baraza la bunge wanachauliwa kwa mda wa miaka mitano.ya kurudilia mara moja.Inafaa kujua kama maraisi wazamani wa jamuhuri waliochaguliwa ni wazee wa baraza la bunge mpaka kufa kwao.

 » BASI HAKI YA WATEULE WA BUNGE NA YA WAZEE WA BARAZA LA BUNGE NI GANI  »

* Wateule wa ataifa na wazee wa baraza la abunge wanao haki ya kutembea inchoini kote bila hata tatizo moja na kuondoka nje ya ainchi pasipo pia tatizo, Wanao haki kwa pesa na madaraka inayowapa huru na heshima.Na hiyo huenda kupangwa kulingana na sheria yenyi kuelekea pesa za serkali.Wateule wa taifa na wazee wa baraza la bunge wanao pia haki kwa malipo yao wakati wanaondoka madarakani mwao , malipo ya mda wa miezi sitarnInafaa kujua kama mpango wa malipo hayo inalingana na sheria , na pia haki zingine za wanabunge zenyi kupangwa na sheria ya kila chumba cha baraza la bunge.

 » KWA MWISHO TANAWEZA KUJUA WAKATI GANI MDA WA MADARA YA WATEULE WA TAIFA NA ULE WA WAZEE WA BARAZA LA BUNGE UNAMALIZIKA  »

* Mda wa madaraka ya wateule wa taifa na ya wazee wa baraza la bunge unamalizika wakati mda wa bunge unamalizika, wakati wa kifo, wakati wanajiondosha kazini, ao wakati wanao kizuizo mpaka mwisho, wakati wa ukosefu wa nguvu ya kutumika, kutohuzuria kunako mikutano mda mrefu pasipo ruhusa zaidi ya mikutano inne kwa kila kipindi,kufukuzwa kulingana na sheria kuhusu uchaguzi,kuitika kazi ingine isiyo lingana na mwanabunge ao mzee wa baraza la bunge,ao kufungwa kulingana na kosa lenyi kutendwa kwa kusudi.
Inafaa tujue kama kila mteule wa taifa ao mzee wa baraza la bunge mwenyi anaondoka katika chama chake cha siasa ni wakati baraza la bunge lingali na madaraka, huyo anapashwa pia kuacha kazi ya mteule wa taifa ao mzee wa baraza la bunge,kwani hali ile aliipewa kutokana na chama chake cha siasa.

Texte de SAMUEL KATSHAKrnOndes CourtesrnTél. : 00243998909787rnE-mail : papykatshak@yahoo.frrn papykatshak@yahoo.frrnTraduction Swahili de DUNIA MUKUNDA

Page 50 de 50« Première...102030...4647484950

Sondages

Le ministre congolais des Transports dit vouloir faire sortir les compagnies aériennes de la RDC de la liste noire de l’Union européenne. Selon vous, il faut prioritairement:

Voir les résultats

Loading ... Loading ...

Publicité

Le temps à Kinshasa

 
Surtout nuageux
21°C
Prévisions 18 mai, 2012
jour
Partiellement ensoleillé avec orages
32°C
nuit
Surtout nuageux
24°C
 

Commentaires : mode d’emploi

Pour mieux vous servir, nous avons réduit à 1000 caractères la taille des commentaires. Cela permet à notre modérateur de les publier plus rapidement. Nous vous conseillons d’être brefs, concis et précis dans vos propos pour mieux exprimer vos opinions. En savoir plus...

Commentez avec votre photo

Au lieu de ce visage anonyme, vous voulez votre propre portrait associé à vos commentaires sur ce site et d'autres? Ouvrez un compte chez Gravatar.

Offres d’emploi

Inscrivez-vous pour recevoir les offres d'emploi dans votre boîte email.
Votre adresse email:


Service par FeedBurner

Votre connexion est trop lente?

N'attendez plus et recevez toutes les nouvelles dans votre boîte mail, comme presque 8000 personnes déjà inscrites.

Tapez votre email:

Service par FeedBurner

Ou cliquez ici pour vous abonner seulement aux sports, culture, économie ou politique.

Podcasts.
Les journaux, Dialogue entre Congolais, Okapi service et Parole aux auditeurs directement dans votre lecteur! Je m'inscris.

Interactions

Participez.
Il suffit de vous inscrire pour laisser un commentaire. Faites vivre le débat et les échanges en suivant la charte de bonne conduite.

Facebook.
Plus de 12 000 fans suivent l'actualité Okapi sur Facebook!
Rendez-vous sur notre page Facebook et devenez un fan.

Radio Okapi



Nos photos.
Retrouvez les photos de Radio Okapi dans notre album Picasa. Des photos de plus grandes tailles y sont disponibles.

Avec le soutien de :